Full width home advertisement

Graphics

Tech News

Post Page Advertisement [Top]

Website ni muunganiko wa pages ambazo zinakuwa zinazungumzia kitu tofauti tofauti. Mfano: mdakijunior.blogspot.com ni website ambapo ndani yake kuna web pages nyingi zote zikiwa na mada tofauti na nyingine. Hiyo ndiyo tofauti kati ya Website na Webpage.


Website kamili ni nini? Ni ile website ambayo unakuwa umekwisha kuihost na ina domain, yaani ".com, .net, .org " n.k. Hivo hata ukiwa na blog nayo pia ni website.  Ni muhimu kujua tofauti kati ya website na webpage ili usije pata aibu mbele za watu.

Nawezaje Kuwa Na Website?
Unaweza kuwa na website endapo kama uko na blog. Kwani Blog imekwisha hostiwa na google na pia imepatiwa Domain japo unaweza badili na kuweka Domain yako wewe mwenyewe. Yaani Domain ambayo umeinunua kwani google wanakupa yakwao ambayo ipo katika muundo huu "www.jinalawebsite.blogspot.com" hivo ukinunua Domain utatoa hiyo "blogspot" na kubakisha kama hivi "www.jinalawebsite.com".
MdakiJunior - Website Kamili


MUHIMU: 
SOMA HII PIA ==> KUTENGENEZA BLOG
SOMA HII PIA==>  KUTENGENEZA EMAIL YA GOOGLE




No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib