Full width home advertisement

Graphics

Tech News

Post Page Advertisement [Top]

Unaambiwa computer ya kwanza ilikuwa inaitwa ENIAC ( Electronic Numerical Integrator and Computer) hii ilikuwa maalum kwa kufanya mahesabu. Ilikuwa ni computer kubwa kuwahi kutokea duniani na ya kwanza kabisa. Ilikuwa na uwezo wa kuchukua kilometa za mraba zisizopungua 1800 na uzito sio chini ya tani 27.
image
MdakiJunior - Ukubwa wa computer ya kwanza duniani
Eniac ilitengenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Pennsylvania John Mauchly and J. Presper Eckert.

image
MdakiJunior - Computer ya kwanza iliyoitwa ENIAC


No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib